BREAKING NEWS

Friday 29 July 2016

Usajili wa Paul Pogba Manchester United Kukamilika Masaa 48 Yajayo.


post-feature-image
Klabu ya Manchester United inatarajiwa kumsaini kiungo wa Juventus Paul Pogba ndani ya masaa 48 yajayo baada ya kukubali kulipa ada ya wakala wake.
Taarifa za ndani ya klabu hiyo zimedai kuwa tayari zimeshakubaliana na Juventus kwa ada ya uhamisho wa mchezaji huyo ambaye anatarajiwa kufanya vipimo vya afya yake muda wowote huko nchini Marekani alipokuwa kwa kwenye mapumziko yake ya kujiandaa na msimu mpya.

Pogba anatarajiwa kuweka rekodi ya kuwa ndiye mchezaji ghali zaidi kuuzwa kweye tasnia ya soka huku ikikadiriwa kuwa United wamekubali kulipa kiasi cha zaidi ya paundi milioni 100 ili kuipata saini ya mchezaji huo mwenye miaka 23 anayewaniwa na timu nyingine ya Madrid.

Aidha imedaiwa kuwa wakala wa mchezaji huyo, Mino Raiola anadaiwa ndiye chanzo cha kuchelewesha dili la usajili wa mchezaji huyo kwa kutaka kulipwa kitita cha paundi milioni 25 nje ya pesa za usajili wa mchezaji huyo.

Pogba anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka mitano wa kuichezea timu hiyo na kupokea mshahara wa paundi 290,000 kwa wiki na atakuwa ni mchezaji wa nne kusajiliwa chini ya kocha mpya, Jose Mourinho akiwa mpaka sasa kasha msajili Eric Bailly, Henrikh Mkhitaryan na Zlatan Ibrahimovic.

Monday 25 July 2016

Adobe Illustrator CC Portable 32 64 Bit Free Download

Adobe Illustrator CC Portable 32 64 Bit Free Download Latest Setup for Windows. Its full offline installer standalone setup of Adobe Illustrator CC Portable

Adobe Illustrator CC Portable 32 / 64 Bit Overview

Adobe Illustrator CC Portable is very handy software which is used to create resolution graphics. With this software you can create your own brushes as well and also take full advantage of incorporated image-tracing engine. It’s a vector graphics application which is designed to create illustrations and digital graphics. It is supported with the MercuryPerformance System. You can also download Adobe Illustrator CC 2014.
Adobe Illustrator CC Portable 32 64 Bit Free Download
This specific system enhances your workflow and it provides greater speeds on the larger files. The unique feature of this software is that it is Resolution Independent which means that you can resize the elements without losing any quality. The GUI of this software is very interactive and you can easily get familiar with it. By the streamlined interface you can fluidly move through the workspaces. It delivers all the necessary tools which will ensure the best precision for graphics development. The customization in this software has a very wide extent and you can also create your own brushes. This software also has a wide range of brushes and it has a number of different brushes to provide you the look which you want in your illustrations. All in all this software is something very comprehensive for the Vector Graphics development and illustrations. You may also like to download Adobe Illustrator CC 2015.
Adobe Illustrator CC Portable 32 64 Bit Direct Link Download

Features of Adobe Illustrator CC Portable

Below are some noticeable features which you’ll experience after Adobe Illustrator CC Portable free download.
  • It’s really useful vector graphics software.
  • It has all the essential tools.
  • Its interface is very intuitive.
  • It has quick to access and easy to use approach.
  • There is a lot of customization.
Adobe Illustrator CC Portable 32 64 Bit Offline Installer Download

Adobe Illustrator CC Portable Technical Setup Details

  • Software Full Name: Adobe Illustrator CC Portable 32 64 Bit
  • Setup File Name: Adobe_Illustrator_CC_18.1.1.exe
  • Full Setup Size: 416 MB
  • Setup Type: Offline Installer / Full Standalone Setup
  • Compatibility Architecture: 32 Bit (x86) / 64 Bit (x64)
  • Latest Version Release Added On: 07th Jun 2016
  • Developers: Adobe Illustrator CC Homepage
Adobe Illustrator CC Portable 32 64 Bit Latest Version Download

System Requirements For Adobe Illustrator CC Portable

Before you start Adobe Illustrator CC Portable 32 64 Bit Free Download, make sure your PC meets minimum system requirements.
  • Operating System: Windows XP/Vista/7/8/10
  • Memory (RAM): 2 GB of RAM is required
  • Hard Disk Space: 1 GB of free space is required
  • Processor: Intel Pentium IV or faster

Adobe Illustrator CC Portable 32 64 Bit Free Download

Click on below button to start Adobe Illustrator CC Portable Free Download. This is complete offline installer and standalone setup for Adobe Illustrator CC Portable. This would be compatible with both 32 bit and 64 bit windows.


Audio | Justin Bieber ft Cody Simpson – Stay Together | Mp3 Download

Justin-Bieber-ft.-Cody-Simpson-Stay-Together                                Audio | Justin Bieber ft Cody Simpson – Stay Together | Mp3 Download
Justin Bieber links up with Cody Simpson for a brand new single titled “Stay Together”. Download & Listen below.
mp3

Audio | Selena Gomez – Me & The Rhythm (Acoustic Version) | Mp3 Listen

Selena-Gomez-Me-The-Rhythm-

Audio | Lil Kesh – Kojo | Mp3 Download

Lil-Kesh-_-Kojo-740x431                                                    Audio | Lil Kesh – Kojo | Mp3 Download
Coming off from the release of his debut album “YAGI” young and talented act Lil Kesh dishes out this fresh banger tagged “Kojo” produced by super talented Young Jonn.
 Download & Listen below:
mp3

Saturday 23 July 2016

Audio | Cassper Nyovest – Mr Madumane (Big $pendah) | Mp3 Download

Cassper-Nyovest-Madumane


Audio | Cassper Nyovest – Mr Madumane (Big $pendah) | Mp3 Download
mp3

Audio | Rommy Ft Seba Tommy – Busy | Mp3 Download

busy
Audio | Rommy Ft Seba Tommy – Busy | Mp3 Download
mp3

Jinsi Ya Kumfanya Mpenzi Wako Wa Zamani (Ex) Atamani Kurudiana Nawe




jinsi ya kumvutia mpenzi wako wa zamani arudiane naweKumfanya mpenzi wako wa zamani kurudiana na wewe si jambo la rahisi kutimiza, haswa kama iwapo ameshachukua hatua ya kusahau yaliyopita na kupata mchumba mpya ambaye wanadate.
Wakati mwingine, inafaa ujipende wewe mwenyewe zaidi ili kufanya mtu mwingine naye akupende. Inafaa uwashe kitu fulani ndani yako; ili kufungua nishati ambayo inapatikana ndani ya mwili wako ili uweze kuwa mtu tofauti.

Wakati mwingine kama tumevunjwa moyo na kukata tamaa tunasahau kujipenda sisi wenyewe. Dunia yako haifai kuzunguka kwa mtu mmoja pekee. Kumbuka marafiki zako wapya na wa zamani sababu hao wanaweza kukusaidia.

Kuwa jasiri kufanya mambo ambayo hujawahi kufanya mbeleni. Kufanya hivyo kutakupa wewe nafasi ya rahisi kumpata na kurudiana na mpenzi wako wa zamani. Jaribu kuvumbua upande mwingine wa nafsi yako, na ukigundua kuwa unaweza kufanya mambo kama hayo, unaweza kujiamini kufuata maagizo haya ya kutumia saikolojia ili uweze kumfanya mpenzi wako atake kurudiana na wewe.

1. Tumia saikolojia mjeuko

Mfano
Mpenzi wako wa zamani Ex ameamua kuachana na mambo yenu ya zamani. Hajibu texts zako wala hataki kupokea simu zako.

Kitu cha kufanya
Bila shaka itakuwa wamezoea ya kuwa kila wakati unamfukuzia ama kutaka kujihusisha na kumbabaikia. Lile ambalo utahitaji kufanya ni usijisumbue kuwatext wala kuwapigia simu.

Kama itatokea mkipishana hata usijisumbue kumuangalia machoni. Akikusalimia mambo wewe mjibu tu poa. Hivi hivi unafaa kuwafanyia marafiki zake. Hakikisha ya kuwa unawafanya kana kwamba huwatambui kabisa katika maisha yako. Wewe jifanye mtu wa kawaida kabisa.

Ukifanya hivyo wataanza kushangaa kwa nini umeanza kuwapuuza kwa ughafla. Wataanza kujiuliza kwa nini umeacha kuwatumia jumbe fupi ama kukuona kwa nini siku hizi umeacha kuwa mtu wa kujamiiana. Mwishowe itafikia wataanza kuuliza marafiki wengine kutaka kujua kama umepata mchumba mwingine ama umeanza kudate mtu mwingine.

Owk. Kama unafanya haya yote kumbuka usivuke mipaka. Wakikusalimia jibu salamu zao lakini usiwe wewe wa kwanza kutoa salamu. Muda si mrefu watagundua ya kuwa mchezo umewajeukia wao bila hata wao kutambua.

2. Jipe shughli kwa kuwa buzy
Hakikisha kuwa unajipa shughli zako kila muda. Mwanzo kama mnafanya kazi katika jengo moja ama mnasoma darasa moja hakikisha ya kuwa unafanya shughli zako kama kawaida ili uonekane huna muda na mambo ambayo anafanya...yaani humtambui kama yuko hapo.

Kwa bahati mbaya iwapo itatokea umekuwa na yeye katika sehemu moja jifanye unatext mtu ili mradi usiongee na yeye. Hii itamfanya yeye kujiona mjinga akiwa kando yako sababu wewe upo buzy na shughli nyingine. Kama ni hali mko shuleni, unaweza kumpuuza kwa kujikeep buzy ukiongea na rafiki yako mwingine

3. Usijifanye uonekane mwenye wivu
Mfano
Umemuona mpenzi wako wa zamani akiandamana na mwanamume/mwanamke anayevutia kama vile Justin Bieber/Beyonce wakitembea wakija upande wako.

Kitu cha kufanya
Usionekane mwenye wivu. Jiweke asili yako vile ulivyo.

Unaweza fikiria unapishana tu na wapenzi wawili ambayo huwajui kamwe. Usijaribu kuwakimbia.

Ukijaribu kuwahepa utakuwa unatuma ujumbe kwa mpenzi wako wa zamani ukiashiria ya kuwa bado unawapenda na kumwona yeye na mwanamume/mwanamke mwengine kumekufanya uvunjike moyo. Huku kutawafanya wao kujiskia wako juu na kujiskia raha. Badala ya wewe kuwafanya wajiskie hivi, hakikisha ya kuwa unawapuuza kabisa. Jambo hili litawafanya kuwa na maswali mengi iwapo kama tatizo liko wapi. Kile unachofaa kufanya nikuwapuuza.

4. Badilisha muonekano wako. Kuwa mtu tofauti
Owk najua ushawahi kuskia zaidi ya mara elfu moja kuwa unafaa kubadilisha muonekano wako ili kujionyesha. Well, kufanya hivi kuna umuhimu gani?


  • Kujibadilisha kunakupa mwonekano mpya na kunakufanya ujiskia vizuri kuhusu wewe mwenyewe. Kufanya hivi kunakupa confidence na kuweza kujiamini kila mahali utakapokwenda.
  • Kama unaonekana vizuri, kwa kawaida inakuwa kama ni kioo kinachokumulika ndani yako. Hii itatuma meseji kwa mpenzi wako wa zamani kuashiria kuwa maisha yako hayazunguki kwa mtu mmoja pekee ambaye ni yeye.
  • Iwapo umejibadilisha kabisa, watagundua ya kuwa kuna nafasi ya haraka kwako kuweza kupata mchumba mwingine. Hii inaweza kumfanya Ex wako kuingiwa na hisia za woga wa kukupoteza asilani. Hivyo kuna uwezekano wa yeye kujipendekeza kwako ili mrudiane.
5. Kuwa mtu usiyejali na ujiburudishe
Tumia muda wako ulionao kujiinjoy na marafiki zako. Jumuika na marafiki zako sehemu tofauti, cheka zaidi, enjoy maisha hadi kilele chako. Iwapo ulikuwa na stress ama mkazo wa maisha wakati ulipokuwa ndani ya mahusiano naye na sahizi umekuwa tofauti itaashiria kuwa umekuwa na utofauti mkubwa na kuwa ndani ya mahusiano naye ilikuwa ni balaa tupu

6. Jifunze kukataa
Ukionyesha kuwa bado unampenda mpenzi wako wa zamani, basi wanaweza kuutumia huu mwanya kukutumia vibaya kwa kuwa hauna uwezo wa kukataa chochote ambacho wanaweza kusema.

Acha kuwa mtu wa aina hii kwa kujikeep buzy na mambo tofauti ya muhimu. Jiheshimu wewe mwenyewe kwa kukataa kutumiwa ovyo. Usikubali kamwe kufanywa mtumwa na mpenzi wako wa zamani. Mwonyeshe kuwa umekuwa tofauti kabisa na mtu ambaye ulikuwa zamani.

Jipe shughli na vitu vyako ili usiweze kutumiwa na ex wako. Hata kama ni kumsaidia na kitu ambacho kinaweza kuchukua dakika 15 unahaki ya kumwambia usoni mwake kuwa haujiskii na kile anachotaka umfanyie.

7. Ingia gym, boresha umbo lako
Kuingia gym ni mbinu moja wapo ambayo unaweza kuitumia kusahau mambo yako ya zamani. Pia kuingia gym kunakupa nafasi kwako kujishepu mwili wako ili uwe na toni ya kuvutia. Pia gym inakusaidia kukupa confidence na kujiamini. Pia gym inakufanya uwe na nguvu zaidi.

Mpenzi wako wa zamani aka ex wako akiona mabadiliko yako ya kimwili, kujiamini na nguvu bila shaka atavutiwa nawe. Labda wakati mwingine anaweza kukuomba kama unaenda gym muende pamoja.

8. Usiwahi kumsifia
Mfano
Wewe na ex wako mmekutana katika birthday party ya rafiki yenu halafu akakusifu kwa mtindo wako uliovalia kwa kusema "Umependeza". Wewe ni lazima umjibu pia.

Vile unavyotakiwa kusema
Mjibu kwa kumsifia lakini usiingie sana. Unaweza kumwambia "Pia wewe umependeza lakini mtindo wa nywele zako umekaa vibaya na nguo" ama "Hio nguo uliyovaa inaweza kufanya kila mwanamke akuangalie lakini marashi uliopaka yananuka vibaya"

Ok hii itawachanganya kabisa kwa sababu hawakutarajia kamwe kuskia neno 'lakini' katika kuwasifia.

Unaweza kuonekana mchoyo lakini hio ni muhimu katika kutimiza lengo lako la kutumia mbinu ya kisaikolojia ili kurudisha akili yake kwako.


Mwisho nikuwa ukitumia mbinu hizi zote kuna uwezekano mkuu wa ex wako kukutizama na sura mpya. Kurudiana na ex wako kutategemea na chanzo chenu cha kwa nini mliachana mara ya kwanza. Labda ilikuwa ni sababu ya kuboeka na mahusiano yenu ama sababu tofauti kabisa.

Maswali 20 Machafu Ya Kumuuliza Mwanamke Whatsapp Ambayo Yatamfanya Apandwe Na Nyege

Wanawake wanapenda kuwa wagumu sana kila wakati ikifikia maswala ya kuwatongoza. Ni vizuri kuwa hivyo kwa sababu haitakuwa na maana kwa mwanaume kumpata mwanamke yeyote bila kutoa kijasho.

Wakati mwingine inakuwa rahisi kwa mwanaume kumsisimua mwanamke haswa ikifikia maswala ya kumshawishi.

Kuna njia tofauti tofauti ambazo unaweza kutumia kumshawishi mwanamke yeyote kuingia katika box lako. Hapa tumekurahishia kazi kwa kukuandalia maswali ishirini ambayo ukimuuliza mwanamke yeyote utamfanya azimie. Maswali haya unaweza kuyatumia mkiwa pamoja ama kama mwanamke anaweza kuhisi fedheha kiasi flani basi ni vyema zaidi kutumia maswali haya katika text, mtandaoni ama Whatsapp.

Tumia maswali haya kumuuliza aidha mpenzi wako ama ni mwanamke yeyote yule ambaye huwa unamtongoza. Unaweza kuanza na swali lolote lile ilimradi uwe unachat na yeye muda wote. Hakikisha umetumia maswali nyakati za usiku ili uweze kupata matokeo mazuri.

1. Uko pekeako?
Swali hili linaeleweka kuuliza kama yuko pekeake na hana kitu cha kufanya nyumbani. Akijibu yuko pekeake. Mjibu kwa kumwambia kuwa unatamani ungekuwa uko na yeye pale alipo sasa.

2. Unafanya nini sahizi?
Fanya kumuuliza hivi kwa umakini ili ujue kama yuko huru ama vipi. Kama ana kazi basi itakuwa ni vigumu kwake kumakinika na mpango mzima. So hakikisha kuwa hayuko buzy. Wanawake wengi hupenda kusema kuwa wako kitandani hawana kitu cha kufanya.

3.Wapenda kupapaswa wakati umelala kwa kitanda?
Swali hili ni kama changamsha bongo kwake. Hii inatoa nafasi ya kuiweka akili yake kwa chat na kuanza kuongea maswala ya kimapenzi polepole bila kumfanya aingiwe na woga ama kushuku nia yako chafu.

4. Unavalia nini kama unaenda kulala/ umevalia nini sasa hivi?
Hili ni swali lenye shauku kwa mwanamke ambaye tayari amejilaza kwa kitanda. Hili ni swali la kibinafsi na bado halijatimiza kumfanya mwanamke kuingiwa na akili ya kusisimuliwa. Akitaja kile alichovali unafaa kumjibu kwa mfano: "Duh!, sahizi umenifanya nianze kukuwaza vile ambavyo umerembeka".

5. Hivi waona unarembeka / sexy zaidi ukivalia nguo gani?
Mfanye aanze kuongea mambo na nguo ambazo akizivaa zinamfanya akuwe sexy ama zinazomrembesha. Atajieleza vile alivyo yeye. Hapa utakuwa unamsoma akili yake iwapo anaweza kustahimili chat yako. Akitaja anapenda kuvaa kanga, jaribu kuichafua akili yake kwa kumuuliza iwapo amenyeshewa na mvua akiwa amevalia kanga(ama nguo yeyote) angejihisi vipi.

6. Ushawahi hata mara moja kumuona mtu mwengine akifanya ngono kwa bahati mbaya?
Swali kama hili linawaweka nyote katika hisia za kupandwa na nyege lakini mnaliweka swali hili kwa mtu wa tatu ili liwazuie mjiskie huru kuendeleza na chat yenu.

7. Ushawahi kushikwa matiti na mtu yeyote kibahati mbaya wakati mmesimama mahali hadharani penye watu wengi?
Swali kama hili linaweza lisimshangaze mwanamke kwa sababu wanapitia mambo kama haya. Akikubali, mjibu ungetamani kuwa ni wewe umemshika kibahati mbaya. Akijibu kwa kucheka ujue mchezo unaenda sambamba.

8. Ushawahi kufanya ngono na jamaa kwa sababu ya kuwa ulikuwa na nyege?
Fanya kumfahamu kama ni mwanamke ambaye anaweza kufanya ngono na mwanaume wakati ambapo anapoingiwa na nyege. Wanawake wengi wanaweza kukataa kujibu hili swali lakini ukiona amekujibu vizuri basi inaonyesha kuwa mwanamke huyu yuko tayari kujibu swali lolote lile ambalo umemwandalia. 



9. Kwa bahati mbaya ukimwona mwanaume akiwa uchi ungependa kuona sehemu gani yake ya mwili kuanzia mabega kushuka chini?
Sasa hapa umeanza kuwa mkorofi kwa kuanza kumuuliza maswali ya kiujanja. Hii itamfanya yeye aonekane ndiye anatumia maneno machafu na wala si wewe.

10. Unapenda gani kati ya boxer ama chupi?
Hili ni swali na kumchanganya tu. Akikujibu anapenda boxer mwambie umevalia nini. Hapa kutamfanya aanze kufikiria vile umevalia. Ataanza kukuwaza ukiwa umevalia boxer ama chupi pekee.

11. Siri yako ni ipi ya kumpagawisha mwanaume kihisia?
Kwa kumuuliza hivi utamfanya yeye kufikiria akifanya mapenzi na mwanaume na atakuwa akikuelezea. Hii itamfanya yeye kuingiwa na mawazo ya ngono. Wakati uo huo anaweza kukueleza zaidi kuhusu kwa nini yeye ni bingwa wa kupagawisha mtu.

12. Kama kuna sehemu ambayo mwanaume anayoweza kukugusa na kukufanya kuingiwa na unyevu ingekuwa ni ipi?
Hili ni swali la moja kwa moja ambalo litamfanya kupandwa na kuingiwa na nyege. Kama atalijibu na ukweli wake wote, basi fahamu ya kuwa atakuwa amepandwa na nyege.

13. Je ukipapaswa mwili mzima unaweza kuingiwa na unyevu?
Wanawake wengi wakipapaswa vizuri kwa kawaida huingiwa na unyevu.  Hivyo unaweza kumjibu kuwa wewe una ustadi wa aina hio so ukikutana na yeye hilo ndilo jambo la kwanza la kumfanya ili kumsisimua.

14. Kama nimekupiga busu kwa bahati mbaya wakati nakuaga, utanichukulia vibaya?
Swali kama hili litamfanya kuanza kufikiria busu lako kama lingekuwaje.

15. Mwili wangu ungeuona wa kuvutia ukiwa na manywele ama ukiwa umenyolewa?
Swali kama hili fasta litampa taswira ya wewe ukiwa uchi kwa madakika fulani akikuona ukiwa na manywele ama umenyolewa.

16. Kama wataka kufanya mapenzi na mwanaume ungependa wewe kuanza ama yeye?
Swali hili litamfanya afikirie akiwa uchi tayari kufanya ngono.

17. Kitu gani mwanaume anachofaa kukufanyia ili uingiwe na unyevu?
Hapa unaingia direct kwa swali ambalo ni tamu. Akikujibu vizuri unafaa urudie tena swali la 12 ili apate kukuelezea kwa kina.

18. Kama ningekuwa nakunongonezea maswali haya yote kwa sikio lako, je ningekusisimua kihisia?
Kama umeifanya hii chat imeenda vizuri, kufikia sasa inafaa kuwa huyo mwanamke ameingiwa na unyevu kitambo. So kwako ni kumsikia mwenyewe kama atakujibu nini.

19. Kama haungekuwa na boyfriend, je mimi na wewe tungeweza kufaana? ? Kama ningekuwa na wewe sahizi tungeweza kulana dende?
Swali kama hili laweza kukufanya ulazwe kwa kitanda, lakini hili swali la mwisho ndio litafunga mchezo.
20. Kama mwanaume yeyote muda huu angekuja sehemu unayoishi na kufanya ngono na wewe ungeipenda?
Usijizungumze kuhusu wewe wakati unapomuulizwa maswali kama haya. Lazima uhakikishe ya kuwa anakutaka. Akijibu 'ndio' kimbia fasta kushinda fastjet hadikwa nyumba anayoishi. La sivyo, hakikisha kutumia mbinu nyingine za ushawishi hadi atakapokuruhusu uende nyumbani kwake. 



CREDITS TO NESIMAPENZI

SERIES: Underworld – Season 03 [Imetafasiliwa Kiswahili] | Download Now

Underword
An origins story centered on the centuries-old feud between the race of aristocratic vampires and their onetime slaves, the Lycans.

Audio | DJ Khaled ft Kendrick Lamar, Big Sean & Betty Wright – Holy Key | Mp3 Download

DJ-Khaled-Ft.-Kendrick-Lamar-Big-Sean-Betty-Wright-Holy-Key-Radio-Rip

Audio | DJ Khaled ft Kendrick Lamar, Big Sean & Betty Wright – Holy Key | Mp3 Download
DJ Khaled calls on Kendrick Lamar, Big Sean & Betty Wright for his latest “Major Key” leak “Holy Key.” DJ Khaled’s is getting ready to release his highly anticipated new album next Friday, July 29 called Major Key. Laced with “14 anthems,” the follow up to I Changed A Lot will feature a star-studded lineup consisting of Jay Z, Future, J Cole, Drake, Lil Wayne, Rick Ross, Meek Mill, Chris Brown, Big Sean, and plenty more.
mp3

Diamond Platnumz Kwenye Post ya Mtandao wa TIDAL Ya Jay Z...!




post-feature-image
Wiki hii mtanzania Diamond Platnumz amekuwa miongoni mwa wasanii waliofanya show kwenye tamasha la wasanii na muziki wa Afrika la #OneAfricaMusicFest Mjini New York na wakati yupo kwenye show mtandao wa TIDAL Wa kuonyesha muziki uliweka show hio Live na Hii ndio post yao kuhusu Show ya Diamond Platnumz.
tidal 12

Tuesday 19 July 2016

Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Apandwe Na Nyege Kwa Kukaa Kando Yake..




Kumfanya mwanamke apandwe na nyege ni ndoto ya kila mwanaume ambayo angependa kutimiza. Kutaka kujua mbinu hii, nimekuletea hatua 8 ambazo ukizifuatilia kwa umakini utafaulu wakati wowote.

Ok, kabla tuanze ngoja niweke wazi...jambo hili si rahisi.

Kumfanya mwanamke kupandwa na nyege lazima nyote wawili muwe na tenshen ya kimapenzi 

Ukiingiwa na tamaa ya kuruka hatua hata moja katika hii orodha nilioiweka hapa basi fahamu ya kuwa utaharibu mpango mzima, na itakuwa vigumu kwako kutimiza ajenda yako chafu.

Nafasi ya kumfanya mwanamke apandwe na nyege mara nyingi huwa haipangwi, hutokezea tu. Hivyo ukipata nafasi kama hii unaweza kuitumia kadri uwezavyo.

Jinsi ya kumfanya mwanamke apandwe na nyege

Kabla kufanya lolote na mwanamke unayeazimia kumfanyia kitendo hiki lazima ulete kemia ya kimapenzi kati yenu. Njia nzuri ya kufanikisha hivi ni kutumia mbinu ya kumtext ama kutumia jumbe fupi za kimapenzi. Tumia mbinu hii tumsuka na kumrushia maneno ya kuvutia mpaka akuzoee. 

Ukiona ama ukigundua kuwa kuna kemia ya kimapenzi kati yenu, sasa unaweza kukaa na yeye ili utumie hizi mbinu ambazo uko karibu kuzifahamu.

Ok wengine wangeuliza kama kweli iwapo inawezekana kumfanya mwanamke apandwe na nyege ukikaa na yeye. Jibu langu ni kuwa soma hatua hizi 8, zifanyie mazoezi halafu ukazijaribu. Najua utanijibu wewe mwenyewe.

Bila ya kupoteza muda hebu zama nami katika hizi hatua.

1. Kaa kwa kubanana naye
Unapokuwa na mwanamke ambaye umemzimia, tafuta kisababu cha kukaa na yeye sako kwa bako. Toa tablet yako umuonyeshe kitumizi kipya ulichodownload, ama unaweza kuchukua kitabu/gazeti umuonyeshe habari ambazo anapenda.

Wakati umekaa na yeye hakikisha ya kuwa hauachi nafasi yeyote kati yenu. Hakikisha ya kuwa mikono yenu inashikana. Ikiwa umeacha nafasi ndogo kati yenu, hakikisha umemsogelea hadi mnabanana. Ukishafanya hivyo, fasta toa tablet/simu yako umuoneshe app yeyote ama habari zozote mpya za udaku ili mradi umchanganye akili ili asisongee mbali na wewe. Hakikisha mikono yako inapata nafasi ya kulisha mikono yake kwa sababu hii ndio njia moja kuu ya kuleta tenshen kati yenu

2. Maslahi yake uyazingatie
Usijaribu kutumia lugha ya kutongoza ama utamfanya aanze kukushuku. Tayari anajua kuwa miguso ya mikono yako ya mara kwa mara inaashiria kitu fulani. Kile unachotakiwa kufanya ni kuivuruga akili yake kwa kuleta mada ambayo itamvutia.

Ichukue atenshen yake kwa kumgusia maswala ya udaku ama skendo ambalo umeliskia mahali fulani. Iwapo utaendelea kuzungumza na yeye na kumfanya awe na shangwe, basi atachukulia kubanana kwenu na miguso yenu ya mikono ni jambo la kawaida tu na halina ajenda yeyote.

3. Anza kutumia lugha ya kumsuka/flirt
Kumfanya mwanamke apandwe na nyege ni jambo rahisi sana iwapo nyote wawili mtakuwa katika sehemu ambayo haina usumbufu. Aidha inaweza kuwa chumbani, maktabani, ndani ya basi nk. Mahali popote pale mlipo ilimradi uhakikishe unamkeep busy na kufanya yale ambayo yanastahili kufanywa.

Wakati mtakuwa mnaendelea na gumzo lenu, unafaa kutumia maneno ya kumsuka lakini yawe ya kichini chini. Mfano unaweza kumwambia "Unanukia utamu", "nimependa kitambaa cha nguo yako","nishawahi kukuambia kuwa macho yako yanapendeza? Nimependa vile yanang'aa nikiwa karibu yako." Maneno kama haya unaweza kumrushia mwanamke huyu bila hata yeye kusongea mbali na wewe. Mwanzo atakuwa anapenda kuyaskia.

Mara kwa mara ingiza maneno ya kusuka. Kama mbeleni ushawahi kumtumia texts chafu unaweza kuleta stori kuhusu baadhi ya texts hizo ili umkumbushe mambo ya kimapenzi ambayo mumekuwa mkitumiana.

4. Shika vidole vyake
Huu mchezo ucheze kwa tahadhari na polepole. Hakikisha nyote wawili mnagusana vidole vyenu kibusara. Iwapo itatokezea ataingiwa na wasiwasi ama kutojiona sawa, basi hapo ndipo itakuwa tamati yako ya kumfanya apandwe na nyege. Jaribu kutafuta kisababu cha kushika vidole vyake aidha kwa kusugua mikono yake na yako ama kumpatia kitu ashikilie. Msifie vile mikono yake iko laini kama pamba. Kufika hapa lazima atakuwa ameanza kujua ajenda yako chafu kwake. Hakikisha ya kuwa hauna pupa ya kufanya chochote cha haraka. Ukiwa mpole kwa kuchukua hatua kwa hatua basi pia yeye atakuwa anafurahia.

5. Mnong'onezee katika sikio lake
Hii itatekelezwa vizuri iwapo mko katika sehemu ambazo kuna watu wengine. Mfano ndani ya basi, mkiwa na marafiki zenu, katika sinema, viti vya nyuma vya gari ama mkiwa nyumbani wakati mnaangalia kipindi pamoja, itakuwa sehemu bora zaidi kufanya kitendo kama hiki.

Usijaribu kuleta ucheshi ndani yake kwa kuwa ukifanya hivyo kutaua mpango mzima. Hivyo msogelee kwa sikio lake na kumsifia kwa jambo fulani. Mwambie kuwa umeshindwa kujizuia kumwambia maneno hayo ya kumsifu kwa mara nyingine.

Iwapo unataka kugonga ndipo, unaweza kumsogelea hadi kwa sikio lake na kumwambia kuwa ungependa kutoka out na yeye siku moja.

Unapotamka maneno ya  kimahaba katika sikio lake hakikisha ya kuwa unapumua kwa uzito. Kufanya hivi kutasisimua nywele zake za malaika zinazopatikana nyuma ya shingo na mikononi mwake. Pia usisahau kulisha midomo yako kwa sikio lake ili kuleta mtizamo wa kumtesa kwa kujaribu kumla dende kwa sikio lake

6. Jaribu kumfikia kwa upande mwingine
Ili hatua hii iweze kufanikiwa, lazima uanze kuhisi tenshen ya kimapenzi kutoka kwako. Usijaribu kuifanya hii hatua kama hakuna tenshen ya kimapenzi kutoka kwako. Iwapo tenshen ya kimapenzi uko nayo tayari, usitie shaka kwani pia kwake itakuja mara moja.

Kwa kuwa mpaka sasa umekuwa ukigusagusa mikono yake na kumnogonezea kwa sikio lake mara kwa mara, sasa tuchukue hatua nyingine ya kujaribu kuchukua kitu kutoka upande wake mwingine wa kwake.
Mfano umekaa na yeye sako kwa bako chumbani mnaangalia tv halafu ukataka kuchukua remote ya tv, wakati unapitisha mkono wako hakikisha ya kuwa mkono wako unalisha matiti yake ama sehemu nyingine ya mwili wake. Hakikisha ya kuwa unafanya ionekane jambo la kawaida bila kujifanya fala kwa kujishuku

Kama matiti yake huwezi kuyafikia unaweza kupitisha nyuma ya mgongo wake ama juu ya mapaja yake ama sehemu yeyote ile ambayo kwa kawaida huwezi kuigusa kawaida ukiwa naye.

7. Isome miondoko yake
Ukianza kumuona anazungumza polepole na kukusongelea karibu yako, ishara kuu ni kuwa ameshapandwa na nyege kama ulivyo wewe. Najua iwapo umetumia hatua hizi moja baada ya nyingine kufikia sasa najua umesimikwa. So kufikia hapa unaweza kurudia hatua za kumsuka, kumtesa, kumgusa na kujaribu kufikia viungo vyake vingine vya mwili ilimradi nyote wawili mnafurahia.

Lisha mikono yako kwa matiti yake ama uangalie shati lake kama utaona vitu vimesimama kwa matiti yake, utakuwa umefaulu kumfanya mwanamke apandwe na nyege!

8. Muulize kumtoa out
Ok hatua hizi zote naona hazifai kupotea hivi hivi. Waonaje umuulize kama anataka umtoe out? Bila shaka hawezi kataa kwa sababu muda huu mfupi umekaa na yeye utakuwa umempagawisha vya kutosha. 

Psss! Baada ya kutoka naye deti na akakubali kulala na wewe (hio ni lazima kama tayari ushawahi kumpandisha nyege) unaweza kutimiza hatua za kumfikisha kileleni kwa kujaribu hizi staili 365 ambazo tumezitengeneza spesho kwa ajili yako. 
Anyway, mwanamke furaha yake kuu ni uwezo wako wa kumtimizia vyema kitandani. So usipoteze nafasi hii ya kumfanya mwanamke akuone wewe ndiwe mwanaume kati ya wanaume wote.




CREDITS TO ; NESIMAPENZI.COM

Watch New Video | Bracket – Fever | Mp4 Download


Bracket (Official Video) – Fever | Mp4 Download
Brand new video by Bracket. Shot in the beautiful St. Lucia and directed by Joel Ayuk.

DOWNLOAD

Mtoto wangu wa kike ataitwa Karma – Wema


wema

Malkia wa filamu Wema Sepetu bado hajakata tamaa kuhusu kupata mtoto licha ya kukatishwa tamaa na baadhi ya watu katika mitandao ya kijamii kutokana na uzazi wake kuwa mgumu.

Muigizaji huyo ambaye alianzisha mfumo wa APP na SMS ambao unatoa taarifa zake mbalimbali kwa mashabiki juu ya maisha yake, tayari umeanza kutoa taarifa mbalimbali kuhusu maisha yake.
Kupitia mfumo huo, Wema amesema angependa mwanae wakiume ampatie jina la Karma.
“Mtoto wangu wa kiume ataitwa Karma,” alisema Wema. “Bado sijafikiria jina nitakalo mpa mtoto wangu wa kiume japo namtaka sana mtoto wa kwanza awe wa kiume, Mungu anajua,” alisema Wema.
Pia kupitia system hiyo, Wema amewashukuru mastaa wenzake wa filamu ambao walimsupport katika show yake ya ‘The Black Tie’.

Mapya Mtanzania Aliyewekwa Rehani Kwa Madawa Pakistan.

NI mateso. Ndivyo unavyoweza kusema, hasa baada ya kundi la maharamia linalojishughulisha na bishara ya ‘unga’ nchini Pakistan kuelezwa kumtesa kijana Mtanzania, Adamu Akida.

Kutokana na hali hiyo, timu ya MTANZANIA ilipiga kambi jana katika eneo la Magomeni, Mtaa wa Idrissa, ambako pamoja na mambo mengine, ilifanikiwa kuzungumza na kaka wa Adamu aliyejitambulisha kwa jina la Hemed Abdallah (si jina lake halisi).

Akisimulia mkasa huo, alisema miezi minane iliyopita, Adamu alikwenda kwa kaka yake ambaye ni mtoto wa mama yake mdogo aliyetambulika kwa jina la Juma, na kuomba msaada wa mtaji kwani kazi yake ya kinyozi haikuwa ikilipa na hali ya maisha ilikuwa ngumu.

Baada ya kueleza shida yake hiyo, kaka yake huyo (Juma) alimuhoji kama yupo tayari kwa ajili ya kutafuta maisha nje ya nchi, na Adamu alikubali kufanya kazi ya aina yoyote ili mradi aweze kupata pesa.

“Adamu kwa sasa ameshikiliwa kwa muda wa miezi minane, hatujui kama alikuwa ameingia katika janga hili hadi pale tulipoona video zake katika mitandao ya kijamii. Hapa aliyepo ni baba yake mdogo, Kessy Baharia na baba yake mzazi yupo Bagamoyo Mlingotini, ndiko anakoendelea na maisha yake.

“Awali alikwenda kwa kaka yake mtoto wa mama yake mdogo anaitwa Juma na kuomba asaidiwe mtaji kwani amekuwa na maisha magumu sana. Baada ya hali hiyo aliambiwa kuna safari ya kwenda Pakistan ambayo waliondoka wakiwa wameambatana watu watatu pamoja na Juma na kijana mwengine ambaye jina lake limenitoka, ila anaishi Kinondoni.

“Walipofika kule, Juma akachukua mzigo akiwa na yule kijana wa Kinondoni, huku Adamu akiachwa Pakistan kwa maelezo kuwa baada ya siku tano atakuja nchini na mzigo mwingine. Muda wote hata tukihoji alipo Adamu tunaambiwa yupo anaendelea na kazi huko aliko ana angerudi mwezi wa tisa nane.

“Sasa hii video ndiyo imetupa picha halisi ya Adamu, maskini sijui kama tutampata akiwa hai. Hata hivyo kwa kipindi cha hivi karibuni, tulikuwa tukishangazwa na mwenendo wa Juma kwani amekuwa na fedha nyingi sana hadi kufikia kuwajengea nyumba dada zake pamoja na kuwanunulia magari,” alisema Abdallah huku akibubujikwa na machozi.

Mke wake

Inaelezwa kuwa mke wa Adamu ambaye alikuwa akiishi Mtaa wa Sunna, Magomeni, alihamia Kijitonyama.

Kwamba alihamishwa na shemeji yake, Juma ambaye ndiye aliyempangia nyumba nyingine Kijitonyama.

“Katika suala hilo, tuna shaka kuwa hata mke wa Adamu anajua kinachoendelea, maana miezi mitatu iliyopita alihama Magomeni na kuhamia Kijitonyama, tena huku akisema mume wake karibu anarejea nchini.

“Lakini baada ya video kuanza kuonekana, sasa hata kupatikana hapatikani, na hatujui amehamia nyumba gani huko Kijitonyama,” alisema Abdallah.

Serikali ya Mtaa

Akizungumza na MTANZANIA, Mwenyekiti wa Srikali ya Mtaa wa Idrissa, Issa Mpangile, alisema kuwa jana askari kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi walifika katika ofisi yake na kumtaka waongozane kwenda katika nyumba ya baba mdogo wa Adamu.

Alisema walipofika nyumbani kwa Kessy Baharia, ambaye ndiye baba mdogo wa Adamu, polisi walichukua maelezo yake na baadaye wakarudi katika ofisi ya Serikali ya Mtaa kuchukua maelezo ya mwenyekiti huyo.

Akizungumza kuhusu kijana huyo, Mpangile alisema kuwa ni mzaliwa wa mtaa huo, lakini baadaye alihamia Mtaa wa Suna ambao ni jirani na Mtaa wa Idrissa, Kata ya Magomeni.

Alisema wakati kijana huyo anahama mtaa huo, alikuwa bado ni kinyozi na hakuwa na rekodi ya kusafiri kwenda nje ya nchi.

“Wakati Adamu anahama Mtaa wa Idrissa, alikuwa bado ni kinyozi na hakuna rekodi kwamba alikuwa anasafiri nje ya nchi,” alisema Mpangile.

Alisema katika mazungumzo na Baharia, alimweleza kuwa amewasiliana na baba wa kijana huyo ambaye anaishi Bagamoyo mkoani Pwani.

Mpangile alisema kwa mujibu wa Baharia, baba wa kijana huyo anayejulikana kwa jina la Akida, amesikia habari za mtoto wake na kwamba atakwenda kuripoti kituo cha polisi.

Naye mama mdogo wa Adamu, aliyetambulika kwa jina la Khadija Katundu, alikiri maofisa wa polisi kumuhoji mume wake.

Alisema wameendelea kutoa ushirikiano kwa watu wanaofika nyumbani kuhoji kuhusu suala hilo, na kwamba wanaamini ufumbuzi utapatikana.

Serikali yahaha

Baada ya taarifa hizo kuripotiwa na gazeti hili jana, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Jeshi la Polisi wanafanya mawasiliano na Serikali ya Pakistan ili kuangalia namna ya kumwokoa Adamu katika mikono ya maharamia hao.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Msemaji wa Polisi, Advera Bulimba, alisema tayari wamepata taarifa dhidi ya Mtanzania huyo.

“Kwa sasa tunafanya mawasiliano na wenzetu wa Pakistan tuone namna ya kumtoa kijana huyo katika mikono ya hao watekaji, na tukikamilisha hilo tutatoa taarifa rasmi juu ya jambo hili,” alisema Advera.

Wakati hayo yakiendelea, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, kupitia mmoja wa maofisa wa idara ya habari ambaye hakupenda kutajwa jina lake gazetini, alisema wamepata taarifa ya tukio hilo, na sasa wanafanya mawasiliano na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Source: Mtanzania

Watch New Video : Makomando - Wanachezaje

Jose Chameleone Katika Bifu Zito na Diamond Platnumz....? Ukweli Halisi Huu Hapa

post-feature-image


Msanii mkongwe wa muziki kutoka nchini Uganda, Jose Chameleone amefunguka kwa kusema kuwa hana tatizo na hit maker wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz.

Mitandao ya kijamii ilidai wawili hao hawakuwa sawa kwa muda mrefu kutokana na madai ya kuwa Jose Chameleone kumdengulia Diamond baada ya kuombwa kolabo, lakini hakuna aliyewai kuzungumzia tetesi hizo.

Jumanne hii Jose amesema hakuwai kuwa na tatizo na Diamond kama baadhi ya watu wanavyozungumza.

“I know how much hard work it takes to build a name and how we are all relevant to flying Africa Music to the world. I can see people trying to build beef lines between me and Diamond Platnumz all these years,” aliandika Jose kupitia instagrm.

Aliongeza, “All I can say is go higher my brother the sky ain’t the limit.Stay strong and God bless you more,”

Baada ya kusema hivyo, mashabiki wa Diamond pamoja na wadau mbalimbali wa muziki katika mitandao ya wamempongeza Jose Chameleone.

Monday 18 July 2016

Wanaume : Zijue Mbinu Za Kumpata Mwanamke Ambaye Tayari Ana BoyFriend


 post-feature-image


Sababu za kwako kumzimia mwanamke ambaye tayari ana boyfriend sizijui ni zipi. Labda ulikuwa umemzimia tangu zamani lakini ulikosa mbinu za kumtongoza akachukuliwa, labda unataka kulipiza kisasi, ama labda unaona huyo boyfriend aliye naye sahizi hafai...ama sababu tofauti kabisa na hizi. Well, jawabu langu ni kuwa, hakuna chochote kisichowezekana hapa ulimwenguni. Mwanzo inaweza kuwa rahisi zaidi kumnyakua mwanamke huyo bila wewe kutoamini. Kile unachohitajika sasa nikufuata hizi mbinu ambazo zimehakikishwa na kufanyiwa utafiti.
1. Kuwa mwanaume ambaye anakuwa kwa ndoto ya kila mwanamke
Kuwa na tabia za kigentleman. Kuwa gentleman itamfanya mwanamke yeyote yule akuwaze na kukutia ndotoni mwake na pia kutaka kukujua zaidi ama atleast kuwa mnakutana mara kwa mara. Hakikisha pia kando na kuwa na tabia za ugentleman, hakikisha ya kuwa unapenda kuwa karibu na yeye na akianza kuonyesha dalili zozote zile, mfano kukupa busu kipajini au kwa shavu, ama kupenda kukukumbatia, fahamu kuwa unaenda sambamba na ajenda yako. Pia kumfanya akuweke kwa akili yake lazima uonyeshe interest zako kwake.

2. Usiache kumuangalia
Wakati ambapo mnakuwa pamoja mnaongea, hakikisha kuwa macho yako yote yanamuangalia yeye kila wakati. Hii ni ishara ambayo itamuonyesha yeye kuwa una macho ambayo yanamzimia yeye pekeake. Mbinu hii itamfanya kwa urahisi kutaka kukutia machoni akuangalie kama bado tabia ya kumuangalia yeye uko nayo ama la.

3. Usisahau kutumia lugha za kumsifu
Ukweli usemwe. Watu wakiwa katika mahusiano kwa muda mrefu kuna vitu mbavyo wanavichukulia kama mzaha. Mfano katika mahusiano ya mwanamke na mwanamume, unapata mara nyingi wamezoeana kiasi cha kuwa wanajihisi uhusiano wao umeshikana kiasi cha kuwa wanasahau mambo madogo madogo kama vile kumsifu mpenzi wake, kumzawadi nk.
Hii ni njia wapo rahisi ambayo itakuwezesha wewe kuuteka moyo wa mwanamke ambaye ana boyfriend kwa haraka. Maneno ya kumsifu ambayo hajaambiwa kitambo yanaweza kumchanganya akili mwanamke yeyote na kumfanya kuingiwa na hisia mbili mbili. Niamini ukitumia mbinu hii utakuwa na nafasi kubwa ya kwako kufaulu kumpata mwanamke aina hii.

4. Hakikisha umemuelewa ndani na nje
Wengi wangeuliza itakuwaje kumfahamu mwanamke ndani na nje na tayari ana boyfriend? Kama ulikuwa hujui basi ni hivi, kulingana na utafiti, inasemekana kuwa akili ya mwanamke inafanya kazi tofauti kabisa na ya mwanamume. So usitilie shaka kabisa hapa. Pia hakikisha umesikiliza kila kitu ambacho atakwambia na utilie maanani yote atakayosema.

KUMBUKA: Wanawake hujiskia huyu kuongea yote ambayo yanatoka akilini mwao kwa mwanamume ambaye anamuamini na kumkubali. Hivyo ukiona umefikia level hii fahamu ya kuwa hauko mbali na kutimiza lengo lako kuu. Pia usisahau kutumia maneno ya uchezi ili kupunguza tenshen ambayo inaweza kuwa kati yenu.
ONYO: Usijaribu kumwambia moja kwa moja kuwa unamzimia na unataka kumpokonya kutoka kwa boyfriend wake kwa sababu hio haitafanya kazi kamwe.
 
Copyright © 2014 Kali Za Wana. Designed by OddThemes