BREAKING NEWS

Saturday 4 June 2016

Ronaldinho Kuonekana Kwenye Filamu Mpya Ya Van Damme


 http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/06/34BCBF5400000578-3619134-It_was_only_earlier_this_year_that_she_found_love_with_portly_Ro-m-43_1464755344478-1.jpg
Staa wa soka duniani, Ronaldinho Gaucho amekubali kucheza kwenye filamu mpya ya kikckboxer ‘Retaliation’ ya Jean-Claude Van Damme.

Ronaldinho ambaye kwenye filamu hiyo ametumia jina la Ronaldo atakuwa pamoja na mastaa wengine kama Mike Tyson, Fabricio Werdum na Paige Van Zant.
Producer Rob Hickman kutoka Hollywood amesema, “As producers, much like advertisers and brands, we must look at a potential star’s total value. In addition to his charisma, Ronaldinho also brings with him 66 million social media followers from all parts of the globe. Those numbers are an element that a lot of traditional movie stars can’t offer and when we market the film, that is something that will be invaluable.”

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Kali Za Wana. Designed by OddThemes