BREAKING NEWS

Thursday 30 June 2016

Hii Ndio List ya Mastaa wa Tanzania Waliokuwa Verified Instagram


Kuwa verified katika mitandao ya kijamii ni kitu ambacho kinawaongezea wasanii umakini na kuwapatia uhakika kwa mashabiki wao, Kwa Tanzania idadi ya wasanii inazidi kukua ikiwa ni June 29 2106 mkali wa bongofleva Baraka Da Prince amekuwa miongoni mwa wasanii waliokua verified kwenye mtandao wa Instagram.
Msanii huyu mwenye followers laki tatu na arobaini na nne elfu na kuweza kuwa miongoni mwa wasanii wa kitanzania waliokua verified, wasanii hawa kama Flaviana Matata, Diamond Platnumz, Vanessa Mdee, Idris Sultan, Ommy Dimpoz na Ali Kiba.
barakalist ya mastaa wengine waliokua verified hii hapa chini
1.Diamond Platnumz
mond

2. Vanessa Mdee
vee money
3. Flaviana Matata
matata
4. Ommy Dimpoz
ommy dimpoz
5. Idris Sultan
idris sultan
6. Ali Kiba
Ali K


Share na Marafiki: 

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Kali Za Wana. Designed by OddThemes