BREAKING NEWS

Saturday 21 May 2016

Babu Tale Alivyoanza Kazi Na Diamond Walifanya Siri, Na Hivi Ndivyo Siri Ilivyovunjika

babu-taleMeneja wa msanii Diamond Hamisi Taletale maarufu kwa jina la Bubu Tale akizungumza na wanafunzi wa Mbezi Beach shule ambayo alisoma na kuwapa ushauri kuhusu kuzifuata njia nzuri za mafanikio na kutimiza malengo katika maisha, aliwapa mfano wa yeye alikopita mpaka kufanikiwa katika mambo yake anayofanya lakini jinsi alivyoanza kufanya kazi na Diamond, Tale alisema kuwa Diamond alimfuata na kumuomba awe meneja wake baada ya kuona kazi aliyokuwa akiifanya, Tale alikubali na kufanya siri kwa mala ya kwanza kwa kuogopa skendo za magazeti kipindi hicho Diamond alikuwa akiandikwa sana katika magazeti. ilikuaje mpaka siri ikavujika na kujulikana kama ni meneja wa Diamond huyu hapa tale akielezea….


                                                   CLICK HAPA KUONA VIDEO

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Kali Za Wana. Designed by OddThemes