BREAKING NEWS

Monday 23 May 2016

Dogo Janja Awatoa 'Povu' Mashabiki Wake Wa Instagram Baada Ya Kuonyesha Mabunda Ya Pesa

Msanii wa Hip Hop kutoka Tip Top Connection, Dogo Janja amewatoa udenda mashabiki wake wa instagram baada ya kupost picha akionyesha mabunda ya pesa huku pesa zingine zikiwa kwenye begi.
Dogo Janja
Rapa huyo anayefanya vizuri na wimbo wake ‘My Life’, alipost picha hizo instagram na kuandika: Mshamba anaeishi maisha yake.
hh
Baada yakupost picha hizo instagram, mashabiki walianza kupost maoni yao huku wengi wakionyesha kutopendezwa na hatua hiyo.
_____ozii
Pesa kuonesha hadhan ndugu utajkuta pabaya watu skuiz washa geuka so watu pls so ktu kzu kufanya hvy uspende kuonesha hadhara ni wazo langu tu ndugu one love man

Checheclassic

Hyoo pesa umeitoa wp janjaro

Fightking

Dont be happy becouse of Money it is just paper

Materujacqueline_fans

Nikopeshe bac maana mate yamenitoka elfu kumi kuishika Siku hizi ni shidaa
omachito1977
Con ese dinero te puedes comprar una cara nueva (Pamoja na fedha kwamba unaweza kununua sura mpya)

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © 2014 Kali Za Wana. Designed by OddThemes